UM wafunga rasmi ofisi yake Burundi
Umoja wa Mataifa umefunga rasmi shughuli za ofisi yake nchini Burundi, BNUB baada ya kuhudumu kwa miaka 20 ikiwa na jukumu la kujenga ustawi baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya zaidi ya muongo mmoja.
Kutoka Bujumbura, mwandishi wetu wa maziwa makuu Ramadhani Kibuga anatuarifu zaidi,