Polisi jamii mkakati mpya wa kuimarisha usalama Somalia
Wakati juhudi za ujenzi mpya kwa ajili ya Somalia unaolenga kuikwamua nchi hiyo ambayo imeshuhudia machafuko kwa takribani miongo miwili ukiendelea, moja ya mikakati inayochukuliwa ni polisi jamii ambapo makundimbalimbali yanajumuishwa ili kukuza uslama.
Ungana na Joseph Msami katika Makala inayoelezea namna mpango wa polisi jamii unavyotarajiwa kulinda amani katika nchi hiyo ya pembe ya Afrika