Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vijana wasikilizwe si washinikizwe cha kufanya: Balozi wa vijana

Vijana hawa wanapaswa kusikilizwa maoni yao. (Picha:UNFPA/Idriss Qarqouri (NICA ID:587729)

Vijana wasikilizwe si washinikizwe cha kufanya: Balozi wa vijana

Lian Kariuki ni ambaye ni Balozi wa vijana duniani kupitia taasisi ya A World at School amezungumza na Idhaa hii katika mahojiano maalum na kueleza kile anachoona kuwa ni chanzo cha vijana kukumbwa na matatizo ya afya ya akili.

(Sauti Lian-1)

Lian akapendekeza cha kufanya kuondokana na tatizo hilo ikiwemo kuwasikiliza vijana kile wanachotaka.

(Sauti Lian-2)