Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mapigano Sudan Kusini na machungu wapitiao watoto wa wakimbizi wa ndani

Katika kambi ilioko karibu na mji wa Bentiu.Picha@UNIFEED

Mapigano Sudan Kusini na machungu wapitiao watoto wa wakimbizi wa ndani

Katika nchi iliyochanga zaidi duniani ya Sudan Kusini, miaka mitatu baada ya Uhuru kumeukuwa na changamoto nyingi zikiwemo mapigano ambayo yamesababisha raia kukimbia makaziyaona kutafuta usalama kwenye kambi za hifadhi za mashirika za Umoja wa Mataifa. Kwenye makazi hayo vifo vya watoto wachanga ni baadhi ya mambo yanayoripotiwa kila uchao.  Je nini kinafanyika? Basi ungana na John Ronoh katika makala hii.