Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Makundi kinzani Somalia yatia saini makubaliano ya mamlaka za mpito za majimbo

makubaliano yakisainiwa Somalia @UNIFEED

Makundi kinzani Somalia yatia saini makubaliano ya mamlaka za mpito za majimbo

Nchini Somalia, uchaguzi mkuu utafanyika mwaka 2016, na kinachofanyika sasa ni mchakato wa kisiasa utakaowezesha kuundwa kwa serikali shirikishi za majimbo kama njia ya kuwezesha kufanikisha uchaguzi huo.

Hatua ya kipekee imefikiwa wiki hii nchini humo kwa makundi mawili kinzani Kusini magharibi ya SW-3 na SW6 kutia saini ya kujiunga na mamlaka ya mpito ya ukanda wao ikijumuisha mikoa mitatu.

Je mapokeo ya hatua hiyo ilikuwaje? Basi ungana na Assumpta Massoi kwenye makala hii.