Ufugaji wakwamua maisha ya wajane
Katika maeneo ya Bonde la Ufa, wakazi hufuga wanyama, ngombe, mbuzi kondoo na hata punda kama njia ya kujiendeleza na kujikimu maishani. Leo tunangazia juhudi za akina mama waliofiwa na waume wao ambao wanajitegemea kwa njia hii.
Basi jiunge na John Ronoh kwa makala hii….