Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ufugaji wakwamua maisha ya wajane

Picha@FAO

Ufugaji wakwamua maisha ya wajane

Katika maeneo ya Bonde la Ufa, wakazi hufuga wanyama, ngombe, mbuzi kondoo na hata punda kama njia ya kujiendeleza na kujikimu maishani. Leo tunangazia juhudi za akina mama waliofiwa na waume wao ambao wanajitegemea kwa njia hii.

Basi jiunge na John Ronoh kwa makala hii….