Teknolojia inadidimiza tasnia ya filamu Tanzania: Mcheza filamu
Kesho ikiwa ni siku ya kimataifa ya haki miliki ambapo shirika lenye dhamana na haki miliki, WIPO linangazia haki za waandaaji , waandishi na waigizaji wa filamu, mcheza filamu mashuhuri nchini Tanzania Jacob Steven maarufu kwa jina la Jaby Bee amesema kukuwa kwa teknolojia nchini kunadidimiza tasnia hiyo
Katika mahojiano maalum na idhaa hii Jay Bee amesema licha ya teknolojia kunufaisha tasnia hiyo lakini
(SAUTI JAY BEE)
Kadhalika mcheza filamu huyo nguli amezungumzia nini kifanyike
(SAUTI JAY BEE)