Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Juhudi za Uganda kupambana na malaria zamulikwa

Juhudi za Uganda kupambana na malaria zamulikwa

Dunia ikiwa inaadhimisha siku ya kimataifa ya malaria April 25 bado tiba na kinga kwa ugonjwa huo ni changamoto kubwa hususani nchi zinazoendelea. Hali ikoje Afrika Mashariki?

Ungana na John Kibego wa radio washirika Spice Fm ya Hoima nchini  Uganda katika makala ifuatayo