Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNMISS yaboresha vipato vya wananchi Sudani Kusini

UNMISS yaboresha vipato vya wananchi Sudani Kusini

Wakati machafuko nchini Sudani Kusini yakiripotiwa kundelea ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS umeanzisha mradi wa kusafisha magari ambao angalu utaleta matumaini ya kipato katikati ya ghasia zilizosababisha hali tete ya usalama wa chakula kutokana na shughuli za kiuchumi kudidimia.

Ungana na Joseph Msami katika makala inayosimulia namna mardi huu unavyotekelezwa.