Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ziara ya Ban nchini Greenland

Ziara ya Ban nchini Greenland

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon alikuwa ziarani nchini Greenland ambapo amepata fursa ya kujionea mabadiliko ya tabia nchi ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye mkutano kuhusu mabadiliko hayo.

Asumpta Massoi amefuatalia ziara hiyo.