Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Shughuli za kilimo zapigwa jeki kufuatia mafunzo kwa wakulima Somalia

Shughuli za kilimo zapigwa jeki kufuatia mafunzo kwa wakulima Somalia

Wakulima nchini Somalia wana furaha kwani kwa mara ya kwanza wameweza kuzalisha chakula cha kiwango cha juu na kulisha jamii, hii ni habari njema ikizingatiwa kwamba nchi hii imekumbwa na mzozo kwa miongo miwili huku ikifanya ikifanya kilimo ambacho ni uti wa mgongo Afrika kusahaulika basi ungana na Grace Kaneiya katika makala ifuatayo.