Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WaSyria waliokimbilia Lebanon wanaishi maisha ya sintofahamu

WaSyria waliokimbilia Lebanon wanaishi maisha ya sintofahamu

Huku mzozo wa Syria ukiwa umeingia mwaka wa nne Machi 15, mashirika ya kutoa huduma za kibinadamu yamefika eneo la Bekaa mashariki mwa Lebanon ili kukutana na familia za waSyria  ambako zaidi ya wakimbizi elfu moja wametafuta hifahi. Basi ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo