Makabila asilia yapaza sauti New York
Mkutano wa hali ya wanawake CSW ukiendelea mjini New York makabila asilia yanazidi kupaza sauti zao kuhusu haki zao za kimsingi matahalani elimu, na huduma nyingine za kijamii.
Akiwa mitaani mjini humo Joseoph Msami wa idhaa hii amekutana na miongoni mmoja wa wamasai kutoka nchiniTanzania, ungana naye