Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake nchini Tanzania

Kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake nchini Tanzania

Wakati siku ya wanawake ikiadhimishwa Machi 8 kila mwaka kote duniani baadhi ya sherehe zimeandaliwa katika maadhimisho ya siku hii basi Ungana na Tamimu Adam ambaye alihudhuria maadhimisho Songea nchini Tanzania.