Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO na EU zasaidia wakulima wa Zimbabwe kuongeza uzalishaji wao

FAO na EU zasaidia wakulima wa Zimbabwe kuongeza uzalishaji wao

Normal

0

false

false

false

MicrosoftInternetExplorer4

/* Style Definitions */

table.MsoNormalTable

{mso-style-name:"Table Normal";

mso-tstyle-rowband-size:0;

mso-tstyle-colband-size:0;

mso-style-noshow:yes;

mso-style-parent:"";

mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;

mso-para-margin:0in;

mso-para-margin-bottom:.0001pt;

mso-pagination:widow-orphan;

font-size:10.0pt;

font-family:"Times New Roman";

mso-ansi-language:#0400;

mso-fareast-language:#0400;

mso-bidi-language:#0400;}

Muungano wa nchi za Ulaya, EU na Shirika la Chakula na Kilimo, FAO, pamoja na serikali ya Zimbabwe, zimezindua programu ya kina ya kuwasaidia wakulima maskini wanaojishughulisha na uzalishaji mdogomdogo kuoengeza uzalishaji wao.

Programu hiyo pia inalenga kuwawezesha kushiriki katika kilimo cha biashara kupitia mbinu jumuishi za ukulima.

Programu hiyo ya miaka minne yenye thamani ya dola milioni 19, itasimamiwa na FAO, na itaangazia unyunyizaji maji kwa mashamba ya wakulima wadogowadogo na shughuli za ufugaji.