Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kuna fursa ya wanawake kujikwamua licha ya ulemavu

Kuna fursa ya wanawake kujikwamua licha ya ulemavu

Katika kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka kuna baadhi ya changamoto amabazo huwakabili wanawake katika jamii. Je hali inakuwajekamamtu ni mwanamke anayeishi na ulemavu Salim Chiro wa radio washirika pwani fm amezungumza na mwanamke mmoja ambaye ameweza kujikwamua licha ya ulemavu