Wavuvi mkoani Tanga, Tanzania waeleza wanavyonufaika na radio
Huko mkoani Tanga Tanzania, moja ya mikoa iliyoko pembezoni mwa bahari ya Hindi nchini humo, uvuvi ni moja ya shughuli kubwa . Je wavuvi wanazungumziaje mahusiano yao na radio? Inawanufaisha vipi? Ungana na Richard Katuma wa radio washirika Pangani Fm kutoka mkoani humo katika makala ifuatayo.