Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wavuvi mkoani Tanga, Tanzania waeleza wanavyonufaika na radio

Wavuvi mkoani Tanga, Tanzania waeleza wanavyonufaika na radio

Huko mkoani Tanga Tanzania, moja ya mikoa iliyoko pembezoni mwa bahari ya Hindi nchini humo, uvuvi ni moja ya shughuli kubwa . Je wavuvi wanazungumziaje mahusiano yao na radio? Inawanufaisha vipi? Ungana na Richard Katuma wa radio washirika Pangani Fm kutoka mkoani humo katika makala ifuatayo.