Usafiri, swala muhimu katika kujiimarisha kwa taifa la Somalia
Wakati taifa la Somalia likiendelea kujiimarisha kiusalama na kimaendeleo miundombinu ya usafiri ni suala muhimu katika kufikia hatua hiyo.
Joseph Msami anamulika hali ya uwanja wa kimataifa wa ndege Kismayo mji ambao ni kitovu cha uchumi cha Somalia. Ungana naye katika makala ifuatayo.