Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Changamoto wanazokumbana nazo wahamiaji zaangaziwa

Changamoto wanazokumbana nazo wahamiaji zaangaziwa

Vijana, wake kwa waume hukimbia makwao kutokana na usalama au kusaka maisha bora na wakati mwingi hukumbana na changamoto nyingi wakati wakitafuta hifadhi katika nchi zingine haswa zilizostawi.

Licha ya kwamba changamoto ni nyingi lakini kambi za muda wanayowekwa wahamiaji hawa kila uchao hupkea watu wapya je ni yapi wanayowakumba wahamiaji hawa basi ungana na Grace Kaneiya katika ripoti ifuatayo.