Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Elimu inayotolewa kwa ufadhili wa UNICEF kambini nchini Afghanistan ni ya kutumainisha

Elimu inayotolewa kwa ufadhili wa UNICEF kambini nchini Afghanistan ni ya kutumainisha

Elimu ni muhimu katika mustakhabali wa maisha ya kila mtoto na ni kwa sababu hii UNICEF inaendesha mafunzo katika familia ambazo zimejikuta katika kambi,  licha ya kuwepo amani bado watu hawa wanakabiliwa na changa moto nyingi katika masiha ya kila siku  basi ungana na Joseph Msami katika ripoti ifuatayo.