Elimu inayotolewa kwa ufadhili wa UNICEF kambini nchini Afghanistan ni ya kutumainisha
Elimu ni muhimu katika mustakhabali wa maisha ya kila mtoto na ni kwa sababu hii UNICEF inaendesha mafunzo katika familia ambazo zimejikuta katika kambi, licha ya kuwepo amani bado watu hawa wanakabiliwa na changa moto nyingi katika masiha ya kila siku basi ungana na Joseph Msami katika ripoti ifuatayo.