Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mradi mpya katika kukabilina na utapiamlo Niger ni wa kutumainisha

Mradi mpya katika kukabilina na utapiamlo Niger ni wa kutumainisha

Utapiamlo ni janga la kitaifa nchini Niger na unaathiri mamia ya maelfu ya watoto.

Ni janga ,ambalo UNICEF na wadau wanajaribu kukabilina nalo kufuatia mradi bunifu wa kutoa mafunzo kwa akina mama kuweza kupima utapiamlo.

Mradi huu unalenga kuhakikisha kwamba utapiamlo unanaswa na kutibiwa kabla ya kusababaihsa maafa basi ungana na Grace Kaneiya katika ripoti