Kesi ya viongozi wa Kenya itasalia ICC, Afrika haijakata tamaa
Kesi inayowakabili viongozi wa Kenya, Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto mahakama ya kimataifa ya uhalifu , ICC ilitikisa mwaka 2013 ambapo Umoja wa Afrika (AU) uliwasilisha rasmi ombi kwenye baraza la usalama la Umoja wa Mataifa la kutaka kusitishwa kwa uchunguzi na mashtaka dhidi yao. Ombihilohata hivyo lilitupiliwa mbali baada kukosa kura zinazotakiwa na hivyo kuashiria kuwa kesi itaendeleakamailivyopangwa. Balozi Macharia Kamau Mwakilishi wa kudumu waKenyakwenye Umoja wa Mataifa alizungumzia suala hilo.
(Sauti Kamau)