Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Miaka miwili na nusu toka Sudan Kusini ipate uhuru, hali si shwari

Miaka miwili na nusu toka Sudan Kusini ipate uhuru, hali si shwari

Mwezi Disemba mwaka 2013 ni miaka miwili na Nusu tangu Sudan Kusini ipate uhuru wake kutoka Sudan, baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Badala ya kuwa ni kipindi cha shamrashamra na kutathmni mwelekeo wa Taifahilochanga zaidi duniani, ulimwengu ulishtushwa na taarifa za kuibuka kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe. Hali si shwari huko Bor, Malakal,Juba, Unity na kwingineko nchini Sudan Kusini wananchi wanahaha! Jumuiya ya kimataifa halikadhalika. Je nini kinaendelea? Jitihada gani zimechukuliwa kumaliza mzozo huo? Basi ungana na Assumpta Massoi katika makala hii..

 (PCKG YA ASSUMPTA)