Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maafisa wa jeshi Sudani Kusini wafunzwa kuhusu ulinzi wa raia

Maafisa wa jeshi Sudani Kusini wafunzwa kuhusu ulinzi wa raia

Mafunzo maalum ya ulizni wa raia yaliyohusisha jeshila Sudani Kusini yamefanyika nchini humo huku kukiwa na taarifa za shambulio la kupinduliwa kwa serikali hatua iliyolaaniwa na Umoja wa Mataifa. Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS umeendesha mafunzo hayo kwa kuzingatia umuhimu wa ulinzi wa raia katika maeneo yaliyokumbwa na migogoro. 

Makala ifuatayo inaelezea namna jeshi la nchi hiyo linavyonufaika na mafunzo hayo ambayo matokeo yake ni kuzidisha ulinzi wa raia ambao hutegemea jeshi la nchi hiyo. Ungana na Joseph Msami.