Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tofauti ya lugha yaleta mkwamo kwa wakimbizi wa DRC huko Uganda

Tofauti ya lugha yaleta mkwamo kwa wakimbizi wa DRC huko Uganda

Upatikananji wa elimu ni changamoto ambayo bado inakabili baadhi ya nchi barani Afrika kutokana na umaskini na mizozo ya kisiasa na kijamii. Wakati wa mizozo jamii hukimbia katika nchi jirani kutafuta hifadhi kuna baadhi ya changamoto na mojawapo ni lugha hasa kwa wanafunzi basi ungana na John Kibego wa radio washirika Spice FM nchini Uganda katika makala ifuatayo

(makala ya John Kibego wa Spice FM)