Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tunajali haki za walemavu: Tanzania

Tunajali haki za walemavu: Tanzania

Haki na ustawi wa watu wenye ulemavu ni kipaumbele cha serikali ya Tanzania, amesema rais wa nchi hiyo Jakaya Kikwete wakati akihutubia taifa hilo kwenye maadhimisho ya siku hiyo yaliyofanyika kitaifa mjini Dar es salaam.

Wakati rais Kikwete akisisitiza kujali maslahi ya kundi hilo, walemavu wenyewe wanadai bado hawapati msaada kama wanavyotarajia. Mwandishi wa radio washirika Wapo Fm ya jijini Dar es salaama Anthon Joseph ameandaa taarifa ifuatayo.