Upatikanaji wa maji ni habari njema kwa jamii ya wafugaji Tanzania
Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na wahisani imekuwa ikijitahidi kutekeleza malengo ya maendeleo ya milenia katika maeneo mbalimbali ikiwamo kuboresha huduma ya maji vijijini na mijini.
Makala ifuatayo inaangazia miongoni mwa eneo kame kabisa Kaskazini mwa nchi hiyo ambapo kwa asilimia kubwa jamii ya wafugaji wa kimasaia ndiyo inaishi huko. Ungana na Joseph Msami.