Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Athari ya taka ya mafuta yaangaziwa Uganda

Athari ya taka ya mafuta yaangaziwa Uganda

Serikali ya Uganda ilitangaza ugunduzi wa mapipa bilioni 3.5 ya mafuta chini ya bonde la ufa la Ziwa Albert . Utafutaji wa mafuta unaendelea wakati moja na mandalizi ya kwanza kuyazalisha.

Wanamazingira wanaonya kuwa uvuvi utaathiriwa kwa sababu wanaona serikali haijajiandaa kukabiliana na athari za mafuta kwa mazingira.

(MAKALA YA JOHN KIBEGO RADIO WASHIRIKA SPICE FM, UGANDA)