Ukatili wa kingono wapigwa vita nchini Kenya
Wakati dunia ikiadhimisha mkataba wa watoto unaolinda haki za kundi hilo muhimu katika jamii, nchini Kenya, kama kwingineko duniani, visa vya ubakaji vinatajwa. Hata hivyo katikati ya wingu hilo la ukatili wa kingono kuna habari njema za kuwanusuru wahanga wa matuko hayo.
Ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo .