Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wananchi wafundishwa namna ya kulinda mifugo Sudan Kusini

Wananchi wafundishwa namna ya kulinda mifugo Sudan Kusini

Mambo sasa ni shwari nchini Sudan Kusini. Hii ni baada ya matukio ya muda mrefu ya uwizi wa mifugo hatua iliyosababisha mamalaka ya polisi nchini humo kuingilia kati na kutoa mafunzo maalum kwa raia juu ya namna ya kukabiliana na uwizi huo. Asumpta Massoi anamulika mafunzo hayo katika makala ifuatayo.