Siku ya kimataifa ya televisheni yaenziwa
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya televisheni inayoangazia umuhimu wa chombo hicho katika upashanaji habari. Siku hii ni matokeo ya azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lililopitishwa mwaka1946.Mwandishi wetu wa Bujumbura Ramadahani Kibuga ametuandalia taarifa ifuatayo: