Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Usimamizi mzuri unakwenda sambamba na uhamiaji mzuri

Usimamizi mzuri unakwenda sambamba na uhamiaji mzuri

Maafisa wa uhamiaji wa kutoka Sudan Kusini walisafiri hadi Tanzani kushiriki katika mafunzo yaliotolewa na Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM . Mafunzo hayo yalilenga kuwafunza kuhusu njia bora za kudhibiti mipaka na pia kuwakutanisha na maafisa wa uhamiaji wa Tanzania. Assumpta Massoi wa Idhaa hii aliongea na msemaji wa IOM Jumbe Omari Jumbe ambaye anaanza kwa kueleza IOM  lilivyowezesha mafunzo hayo.

(MAHOJIANO)