Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali ya elimu yamulikwa nchini Sudan kusini

Hali ya elimu yamulikwa nchini Sudan kusini

Sudan Kusini , taifa changa linalokumbana na changmoto mbalimbali mojawapo ikiwa ni elimu ya msingi. Nchini humo sio ajabu kukutana na watu wenye umri wa makamu ambao hawajui kusoma wala kuandika. Nini kifanyike? Na je nini kinakwamisha mchakato wa elimu nchini humo?

Ungana Grace Kaneiya katika taarifa inayomulika hali ya elimu nchini humo.