Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Amani yamulikwa jimbo la Abyei

Amani yamulikwa jimbo la Abyei

Wakati wajumbe wa baraza la usalama na amani la Muungano wa Afrika, AU wakikamilisha ziara yao katika jimbo la Abyei nchini Sudan jimbo ambalo limeshuhudia migogoro kwa muda mrefu. Wakati ziara hiyo ikijiri, wakuu wa mataifa mawili , Sudan na Sudan Kusini wamekutana katika mchakato wa kuhakikisha amani inarejea jimboni humo.

Ungana na Joseph Msami anayemulika mkutano huo uanotoa matumaini ya kufikia amani katika jimbo la Abyei.