Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Dawati la jinsia ni ishara ya ushirikiano kati ya UM na Tanzania:

Dawati la jinsia ni ishara ya ushirikiano kati ya UM na Tanzania:

Wiki hii ni wiki ya Umoja wa Mataifa ambapo tarehe 24 Oktoba ni kilele. Hiki ni kipindi cha kutambua mchango wa Umoja wa Mataifa katika  Maendeleo ya

Tanzania na tayari shughuli mbalimbali zinaendelea jijini Dar es Salaam. Je shughuli hizo ni zipi? Na mambo yapi Umoja wa Mataifa inajivuniaTanzania. Stephen Mhando wa UNHCR katika mahojiano yaliyorekodiwa na Stephanie Raison wa UN-Women amezungumza na Usia Nkhoma-Ledama wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa na anaanza kwa kuelezea shughuli husika.