Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vikosi vya Afrika vyaimarisha amani Somalia

Vikosi vya Afrika vyaimarisha amani Somalia

Wakati hali ya usalama ikiimarika nchini

Somalia vikosi vya ulinzi wa amani vinavyoshirikiana na vikosi vya muungano wa Afrika nchini humo , AMISOM, kikosi cha walinda amani kutoka Kenyakimeondoka nchini humo.

Kuondoka kwa kikosi hicho ni kutoa fursa kwa kingine ili kuendeleza mchakato wa uimarishaji usalama Somalia nchi ambayo kwa takribani miongo miwili imeshuhudia machafuko. Joseph Msami anasimulia katika makala ifuatayo.