Lengo la sita la maendeleo ya milenia laangaziwa
Lengo la sita la malengo ya milenia ni kukabiliana na magonjwa ukiwemo Hiv/ Ukimwi Huko Tanzania kumezinduliwa kampeni ya kupimwa kwa hiari basi ungana na Enes Mwaisakila kutoka radio washirika Jogoo Fm, kutoka RuvumaTanzania kujua hali ilivyo.
(Makala ya Enes Mwaisakila)