Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Irina Bokova ateuliwa tena kuwa Mkurugezni Mkuu wa UNESCO

Irina Bokova ateuliwa tena kuwa Mkurugezni Mkuu wa UNESCO

Normal

0

false

false

false

MicrosoftInternetExplorer4

st1\:*{behavior:url(#ieooui) }

/* Style Definitions */

table.MsoNormalTable

{mso-style-name:"Table Normal";

mso-tstyle-rowband-size:0;

mso-tstyle-colband-size:0;

mso-style-noshow:yes;

mso-style-parent:"";

mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;

mso-para-margin:0in;

mso-para-margin-bottom:.0001pt;

mso-pagination:widow-orphan;

font-size:10.0pt;

font-family:"Times New Roman";

mso-ansi-language:#0400;

mso-fareast-language:#0400;

mso-bidi-language:#0400;}

Bi Irina Bokova ambaye sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO, ameteuliwa tena kuendelea kuushikilia wadhafa huo kwa muhula wa pili, katika kura ya mchujo ilowajumuisha wagombea wengine wawili. Wagombea hao walikuwa na Bwana Rachad Farah kutoka Djibouti na Joseph Maïla kutoka Lebanon.

Uteuzi huo utawasilishwa kwenye mkutano mkuu wa nchi 195 wanachama wa UNESCO, ili ufanyiwe idhinisho.

Irina Bokova ambaye ana umri wa miaka 61, ni raia wa Bulgaria na amekuwa Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO tangu alipoteuliwa kwanza mnamo Oktoba 2009. Aliwahi kuhudumu kama balozi wa Bulgaria nchini Ufaransa, na kama Mwakilishi wake wa Kudumu kwa UNESCO.