Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Licha ya mashambulizi bado kuna matumaini ya ujenzi wa taifa Somalia

Licha ya mashambulizi bado kuna matumaini ya ujenzi wa taifa Somalia

Wiki hii kiasi cha Euro bilioni 2.4 zimeahidiwa katika kongamano liitwalo New Deal kuhusuSomalia, linayofanyikaBrussels. Ijapokuwa kumekuwa na changamoto, Hatua zimepigwa chini ya Serikali inayoongozwa na rais Hassan Sheik Mohamud , hususani kukuza uchumi wa taifa hilo ambalo limeshuhudia mapigano kwa takribani miongo miwili. Je ninini mustskabali wa Somalia?

Ungana na Joseph Msami katika ripoti hii itakayo kupa jawabu