Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF na washirika wakwamua afya za watoto Uganda

UNICEF na washirika wakwamua afya za watoto Uganda

Huduma ya afya ni miongoni mwa changamoto katika nchi zinazoendelea mathalani barani Afrika nchiniUganda. Lakini sasa mambo ni tofauti vijijini ambapo serikali na wadau wa sekta hiyo wakiwamo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF wameleta mabadiliko.

Ungana na Asumpata Masoi kwa undani wa taarifa hii