Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Michezo yatumika kupinga ulemavu Bosnia

Michezo yatumika kupinga ulemavu Bosnia

 

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, kwa kushirikiana na washirika wanafanya kampeni maalum ya kupambana na ulemavu kwa watoto kwa kutumia michezo ili kuifikia jamii.

 Kampeni hii inayowahusisha watoto inalenga kubadilisha mtizamo wa jamii kuhusu watoto wanaosihi na ulemavu ili kuwajumuisha katika kila nyanja kwenye jamii.