Amani usalama, maendeleo vyamulikwa New York
Warsha ya tatu ya muundo wa Umoja wa Mataifa inayohusisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali duniani imeanza mjiniNew York, ambapo wanafunzi hao wamesema watayatumia mafunzo kama nyenzo ya kukuza amani usalama na maendeleo.
Ungana na Joseph Msami aliyefanya mahojiano na wawakilishi wa Kenya na Tanzania katika warsha hiyo.