Wakimbizi wa Syria wamiminika Iraq
Wakimbizi wa Syria walioko Iraq wanaendelea kuongezeka kila uchao. Wengi wao wakisema wanakimbia machafuko yanayoendelea kati ya vikundi vyenye silaha . UNHCR imesema Mmiminiko huu umepelekea upungufu wa Chakula, maji na umeme basi ungana na Joseph Msami katika ripoti hii