Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO na UNICEF yaendesha kampeni ya chanjo dhidi ya polio, Mogadishu

WHO na UNICEF yaendesha kampeni ya chanjo dhidi ya polio, Mogadishu

Shirika la Kuhudumia watoto katika Umoja wa Mataifa, UNICEF pamoja na Shirika la Afya duniani WHO linaendesha kampeni ya kutoa chanjo tangu kugunduliwa kwa visa vya  polio mjini Mogadishu nchini Somalia Ungana na Assumpta Massoi katika ripoti ifuatayo.