UNICEF imewekeza katika kutokomeza utapiamlo katika eneo la Mancha, Ethiopia
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, kwa kushirikiana na serikali ya Ethiopia na Muungano wa nchi za Ulaya linahaha kusaidia kutokomeza utapiamlo nchini humo.Mradi huu unanuia kutambua dalili za utapiamlo mapema na kuelimisha jamii kuhusu njia za kuuzuia.Ungana na Grace Kaneiya katika ripoti ifuatayo