Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Afya ya mama na mtoto kuimarika unyonyeshaji ukizingatiwa

Afya ya mama na mtoto kuimarika unyonyeshaji ukizingatiwa

Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji yameanza leo ambapo Shirika la kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF linahimiza unyonyeshaji watoto kwa afya zao na mama hususani katika kipindi cha miezi sita ya mwanzo.Ungana na Jason Nyakundi katika makala ifuatayo inayomulika swala la unyonyeshaji nchini Kenya.