Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM walaani mlipuko uliotokea katika viunga vya Kusini mwa Beirut :

UM walaani mlipuko uliotokea katika viunga vya Kusini mwa Beirut :

Viongozi wa Lebanon na vyama vya siasa lazima waungane kupinga vitisho hivyo kwa usalama wa nchi9 yao, utulivu na kujitahidi kurejesha jukumu la taasisi za Lebanon. Mratibu huyo anatumai kwamba tukio la leo litachunguzwa kwa kina na wahusika kufikishwa kwenye vyombo vya sheria haraka iwezekanavyo