Mji wa Kaesong nchini Korea Kaskazini watajwa kuwa mji wa kihistoria
Mji wa kihistoria waKaesong ulio nchini Korea Kaskazini umetamngazwa kuwa mji wa kihistoria wakati Umoja wa Mataifa unopoendelea kutathimini maajabu ya kiasili na kitamaduni kote duniani.Kamati ya masuala ya kitamaduni kwenye shirika la elimu , sayansi na utamabudini la Umoja wa Mataifa UNESCO hii leo iliidhinisha mji huo kwenye mkutano unaondelea nchiniCambodiakutokana na umuhimu wake kwenye masuala ya kisiasa, kitamaduni na kidini katika historia ya eneohilo.
Kamati ya masuala ya kitamaduni kwenye shirika la elimu , sayansi na utamabudini la Umoja wa Mataifa UNESCO hii leo iliidhinisha mji huo kwenye mkutano unaondekea nchiniCambodiakutokana na umuhimu wake kwenye masuala ya kisiasa, kitamaduni na kidini katika historia ya eneohilo.
Mji waKaesonguna sehemu 12 zxikwemo ikulu , kuta za kujikinga maeneo ya utabiri wa hali ya hewa na sehemu zingine nyingi. Haya yote yanaashiri kuhusu utawala wa Koryo uliokuwa madarakani kati ya karne ya 918 na 1392.