Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mama Kikwete apokea tuzo kwa kuchochea mafanikio ya MDGs nchini Tanzania

Mama Kikwete apokea tuzo kwa kuchochea mafanikio ya MDGs nchini Tanzania

Mjini New York, Marekani, Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete amepokea tuzo kutokana na mchango wake katika kufanikisha malengo ya maendeleo ya milenia, MDG yanayofikia ukomo mwaka 2015. Shuhuda wetu alikuwa Joseph Msami.(Ripoti ya Joseph)