Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakenya waongea kuhusu walinda amani

Wakenya waongea kuhusu walinda amani

Kazi ya walinda amani ina changamoto kubwa, lakini pia faida nyingi. Leo, Mei 29, ulimwengu unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani. Lakini je, raia wa kawaida wanaiona vipi kazi ya walinda amani? Na je, raia hao wangeombwa wajiunge na kazi ya kulinda amani, wangefanya hivyo? Hayo ni baadhi ya maswali ambayo Jason Nyakundi amewauliza watu mitaani mjini Nairobi, Kenya.